Waziri wa OR-TMSMIM Mhe. Masoud akutana na Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar ofisini kwake Vuga
05 Sep 2022

Waziri wa OR-TMSMIM Mhe. Masoud akutana na Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar ofisini kwake Vuga

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mh. Masoud Ali Mohammed Akizungumza na Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad alipokwenda kujitambulisha Ofisini kwake Vuga.

Mhe. Masoud amesema suala la ulinzi wa raia na mali zao ni jambo muhimu ambalo litawaongezea imani wananchi kutoa ushirikano kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuweza kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Nae Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar amependekeza kuandaliwa kwa mafunzo ya pamoja kati ya Jeshi la Polisi na Vikosi vya Idara Maalum ili kuwajengea uwezo wa kiutendaji wapiganaji hao. Kamishna Hamad Khamis Hamad amefika Ofisini hapo ujitambulisha baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo hivi karibuni

Kwahabari zaidi usiache kutembelea Youtube Channel yetu OR-TMSMIM ZANZIBAR na kusubscribe

 kms1  kms5
 kms4  kms3
Last modified on Monday, 05 September 2022 14:01
Rate this item
(1 Vote)

Wasiliana nasi


Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ

2277 Barabara ya Vuga,

S.L.P 4220,

70401 Mjini Magharibi,

Tel: +255242230034

Fax: +255242230034

Barua pepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Waliotembelea Tovuti

3712137
Today
Yesterday
This Week
This Month
All days
395
1354
5420
15494
3712137