IDARA YA MIPANGO, SERA NA UTAFITI

UONGOZI

Mkurugenzi katika idara ya mipango sera na utafiti ni ndugu ABDALLAH ISSA MGONGO.

KAZI KUU

  • Kuratibu na kusimamia mipango inayoendeshwa na Wizara.
  • Kuunda na kuratibu sera na sheria.
  • Kupanga, kubuni na kusimamia miradi na programu.
    Kuandaa mipango ya kila mwaka, kuweka mikakati na bajeti ya kila mwaka ya Wizara.
  • Kuratibu shughuli za utafiti wa Wizara na kuandaa ripoti ya utafiti.
  • Kukagua, kuimarisha na kuratibu mipango na programu za maendeleo ya wizara.
  • Kupitia na kutathmini utekelezaji wa sera, mipango, mipango na mradi ya wizara.

Kuratibu, kufuatilia na kusimamia miradi na programu inayofadhiliwa

Wasiliana nasi


Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ

2277 Barabara ya Vuga,

S.L.P 4220,

70401 Mjini Magharibi,

Tel: +255242230034

Fax: +255242230034

Barua pepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Waliotembelea Tovuti

3694549
Today
Yesterday
This Week
This Month
All days
441
663
4618
21991
3694549