• KIKAO CHA KUPITIA MAKADIRIO YA MAPATO KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amewataka viongozi wa wizara hiyo kushirikiana vyema ili kufikia lengo la Serikali..
  • MHE. HEMED KUKAGUA MIRADI YA OR-TAMISEMIMMakamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema ameridhishwa na miradi ya maendeleo inayoendelea kujengwa..
  • KUJITAMBULISHA KWA WAKUU WA WILAYA WAPYAWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amewataka Wakuu wa Wilaya kuijua Miradi iliyopo kwenye Wilaya zao ili kujua ubora wa Miradi hiyo..
  • KUWAJENGEA UWEZO WA KIUTENDAJI KWA MAMLAKA ZA SERIKALIZA MITAAWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kutumia vyema mafunzo watakayopatiwa ili kuleta tija kwa wananchi na Serikali kwa ujumla.
  • BARAZA LA WAWAKILISHIWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMIM SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amesema Serikali inampango wa kujenga Stendi ya Kisasa ya Mabasi na Gari za Abiria kwa mwaka wa Fedha 2026/2027 katika eneo la Chanjaani ili kuimarisha shughuli za usafiri..
  • ZIARA YA KIKAZI KIKOSI CHA ZIMAMOTOMhe. ldrissa Kitwana Mustafa amewataka watendaji wa ldara Maalum za SMZ kufanya kazi kwa misingi iliyowekwa ili kufikia malengo yaliotarajiwa..
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA MAPINDUZIMaafisa kutoka OR-TAMISEMIM Wakitoa Elimu Kuhusu Majukumu ya Ofisi kwa Wananchi waliofika katika Banda la Ofisi hiyo kwenye Maonyesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar yanayoendelea Dimani Wilaya ya Magharibi B.
  • ZIARA YA KIKAZI KMKMMuendelezo wa Ziara ya kikazi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa katika Makao Makuu ya Kikosi Maalum Cha Kuzuia Magendo (KMKM) Zanzibar..
  • ZIARA YA KIKAZI KVZWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa amefanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Kikosi cha Valantia Mtoni Zanzibar.
  • ZIARA YA KIKAZI JKUWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa amefanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi la kujenga Uchumi (JKU) Saateni.
  • UFUNGUZI WA VIWANJA VYA MICHEZOWaziri wa Nchi OR-TAMISEMIM SMZ Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa ametoa wito kwa Wizara ya Habari Sana Michezo na Utamaduni kutafuta maeneo mengine ya kujenga viwanja vya michezo ili kukuza sekta ya michezo nchini..
  • HAFLA YA KUWAAGA WASTAAFUNaibu katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mikidadi Mbarouk Mzee amewataka wastaafu wa ofisi hiyo kuendeleza mazuri waliyoyapata katika kipindi chote cha utumishi wao..
OR-TAMISEMIM-HABARI

Angali Habari Zote

BARAZA LA WAWAKILISHI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMIM SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amesema Serikali inampango wa kujenga Stendi ya Kisasa ya Mabasi na Gari za Abiria kwa mwaka wa Fedha 2026/2027 katika eneo la Chanjaani ili kuimarisha shughuli za usafiri.


Read More

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS,TAWALA ZA MIKOA, NA IDARA MAALUM ZA SMZ.

MHE IDRISA KITWANA MUSTAFA

Serikali ya Awamu ya Nane imeendelea kujidhihirisha kwa vitendo katika kuwapatia wananchi maendeleo kupitia ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa, wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Barabara ya Mahonda- Pangatupu- Bumbwini (km 11.3) pamoja na Daraja la Pangatupu lenye urefu wa mita 100, Wilaya ya Kaskazini “B”, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Amesema wananchi wana kila sababu ya kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, kwa juhudi zake za kuifungua Zanzibar kiuchumi kupitia uwekezaji mkubwa wa miundombinu, sambamba na kulinda Mapinduzi ya Zanzibar. Aidha, amesisitiza kuwa maendeleo lazima yaambatane na amani, umoja na utulivu.