KATIBU MKUU AKIKATA UTEPE KUZINDUA MAGARI MANNE YA KVZ
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, Nd. Issa Mahfoudh Haji amewataka wakufunzi wa Idara maalum za SMZ kuendeleza Mafunzo kwa Vikosi hivyo ili kuwaweka utayari kwa kulinda nchi yao. Ameyasema hayo kwa niab
Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa ameridhishwa na mafanikio ya Maonesho ya kilimo ya nane nane yanayoendelea Dole Kizimbani..
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa agizo kwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri kuongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu yao..
Wafanyakazi wa Ofisi Y Rais Tawla Za MIkoa Serikali Za Mitaa Na Idara Maalum Za SMZ Wakiwaaga Watumishi waliomaliza muda wao katika Wizara hiyo.
Wafanyakazi wa OR-TMISEMIM wakishiki katika Tamasha la Maonyesho ya Biashara ya Mapinduzi kuadhimisha Miaka 61.
Waziri wa OR-TMSEMIM Mh Msoud Ali Mohammed akiwasilisha Ripori ya Mafanikio ya Rais wa Zanzibar katika kutimiza miaka minne ya Uongozi wake.