Kikosi cha Zimamoto na Uokozi

 

Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kimeanzishwa chini ya  Sheria namba 7 ya mwaka 1999 iliyopitishwa na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.

Kikosi kina majukumu makuu yafuatayo hapa chini:-

  1. Kusimamia shughuli zote za uzimaji moto na Uokozi wa maisha na mali za watu pamoja na viumbe vyengine zinazosababishwa na majanga ya kimaumbile na yale  yanayosababishwa na wanaadamu wenyewe.
  2. Kusimamia na kuhakikisha kuwa huduma za Zimamoto na Uokozi kwenye Viwanja vya Ndege Unguja na Pemba zinaenda sambamba na matakwa kulingana na sheria za kitaifa na kimataifa.
  3. Kusimamia na kutoa ushauri wa mafunzo mbali mbali ya kujikinga na majanga kwa wananchi na Taasisi mbali mbali za Serikali na za watu binafsi zilizopo nchini.
  4. Kusimamia na kutoa huduma mbali mbali kwa jamii kulingana na zana zilizopo Kikosini.

DIRA

Kutoa huduma za Uokozi na Uzimajimoto kwa haraka na Ufanisi.

DHAMIRA

Kuimarisha kwa huduma za Uokozi na Uzimajimoto kwa kulingana na matakwa ya Kitaifa na Kimataifa.

Wasiliana nasi


Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ

2277 Barabara ya Vuga,

S.L.P 4220,

70401 Mjini Magharibi,

Tel: +255242230034

Fax: +255242230034

Barua pepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Waliotembelea Tovuti

3716157
Today
Yesterday
This Week
This Month
All days
118
71
2356
19514
3716157